Mtumiaji:Tomson G Wiston : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
|||
Mstari 2: | Mstari 2: | ||
== <u>'''UTAMBULISHO'''</u> == |
== <u>'''UTAMBULISHO'''</u> == |
||
Ni mwanafunzi wa kidato cha [[ |
Ni mwanafunzi wa kidato cha [[]] katika shule ya ni mwana klabu wa Wikipedia.[[Picha:Mosquito Tasmania.jpg|thumb|Mbu anayeeneza ugonjwa wa malaria]] |
||
== <u>MALARIA</u> == |
== <u>MALARIA</u> == |
||
[[Malaria]] ni ugonjwa unaosababishwa na [[mbu]] aina ya anofelensi.Ugonjwa huu unaweza kumsababishia |
[[Malaria]] ni ugonjwa unaosababishwa na [[mbu]] aina ya anofelensi.Ugonjwa huu unaweza kumsababishia |
Pitio la 12:27, 28 Julai 2019
UTAMBULISHO
Ni mwanafunzi wa kidato cha nne anayesoma katika shule ya Alfagems pia ni mwana klabu wa Wikipedia.
MALARIA
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mbu aina ya anofelensi.Ugonjwa huu unaweza kumsababishia
mtu homa kali na pia unaweza kumsababishia kifo.Ugonjwa huu hutibiwa kwa dawa maalumu zijulikanazo
kwa jina la mseto.Pia katika utumiaji wa dawa hizi ni lazima utumie na dawa za maumivu zijulikanazo kwa jina la panadol au paracetamol.
KAMUSI
Kamusi ni kitabu cha marejeo kinachomwelewesha mtumiaji kuhusu maana za misamiati mbalimbali,
maelezo yake na jinsi ya kutamka maneno hayo.Kuna aina tatu(3) za kamusi:
(i)Kamusi wahidiya
(ii)Kamusi thania
(iii)Kamusi mahuruti
Kwa lugha ya kiingereza kamusi inajulikana kama [[dictionary]
VITA VYA MAJIMAJI
Vita vya majimaji vilipiganwa mnamo mwaka 1905-1907.Kiongozi wa vita hivi kwa
watu wa Tanzania alikuwa ni Kinjeketile Ngwale.Vita hii ilikuwa ni upingaji mkali
dhidi ya utawala wa koloni la Ujerumani.Vita hivyo vilishirikisha baadhi ya makabila
ya wanyamwezi.