Mtumiaji:Tomson G Wiston : Tofauti kati ya masahihisho
dNo edit summary Tags: KihaririOneshi Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu Uhariri wa hali ya juu wa rununu |
|||
Mstari 2: | Mstari 2: | ||
== <u>'''UTAMBULISHO'''</u> == |
== <u>'''UTAMBULISHO'''</u> == |
||
Alizaliwa tar.22 mwezi.7 mwaka .[[2001]] katika mkoa wa [[Kigoma]]. Mwaka 2007 wazazi wake walihamia katika Jiji la Dar es salaam ambapo mwaka 2009 alianza darasa la kwanza katika [[shule]] ya msingi ya [[mabwepande]] na mwaka 2015 alihitimu darasa la saba katika shule hiyo.Mwaka [[2016]] alianza kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Alfagems, na mwaka 2019 |
Alizaliwa tar.22 mwezi.7 mwaka .[[2001]] katika mkoa wa [[Kigoma]]. Mwaka 2007 wazazi wake walihamia katika Jiji la Dar es salaam ambapo mwaka 2009 alianza darasa la kwanza katika [[shule]] ya msingi ya [[mabwepande]] na mwaka 2015 alihitimu darasa la saba katika shule hiyo.Mwaka [[2016]] alianza kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Alfagems, na mwaka 2019 [[]] [[]] cha [[]] .Pia ni [[mwandishi]] na [[mhariri]] katika [[wikipedia]].[[Picha:Mosquito Tasmania.jpg|thumb|Mbu anayeeneza ugonjwa wa malaria]] |
||
== <u>MALARIA</u> == |
== <u>MALARIA</u> == |
||
[[Malaria]] ni ugonjwa unaosababishwa na [[mbu]] aina ya anofelensi.[[Ugonjwa]] huu unaweza kumsababishia |
[[Malaria]] ni ugonjwa unaosababishwa na [[mbu]] aina ya anofelensi.[[Ugonjwa]] huu unaweza kumsababishia |
Pitio la 10:39, 2 Juni 2022
UTAMBULISHO
Alizaliwa tar.22 mwezi.7 mwaka .2001 katika mkoa wa Kigoma. Mwaka 2007 wazazi wake walihamia katika Jiji la Dar es salaam ambapo mwaka 2009 alianza darasa la kwanza katika shule ya msingi ya mabwepande na mwaka 2015 alihitimu darasa la saba katika shule hiyo.Mwaka 2016 alianza kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Alfagems, na mwaka 2019 alimaliza kidato cha nne . Mwaka 2020 alijiunga na kidato cha tano katika shule ya Sekondari Minaki na mwaka 2022 alihitimu kidato cha sita.Pia ni mwandishi na mhariri katika wikipedia.
MALARIA
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mbu aina ya anofelensi.Ugonjwa huu unaweza kumsababishia
mtu homa kali na pia unaweza kumsababishia kifo.Ugonjwa huu hutibiwa kwa dawa maalumu zijulikanazo
kwa jina la mseto.Pia katika utumiaji wa dawa hizi ni lazima utumie na dawa za maumivu zijulikanazo kwa jina la panadol au paracetamol.
KAMUSI
Kamusi ni kitabu cha marejeo kinachomwelewesha mtumiaji kuhusu maana za misamiati mbalimbali,
maelezo yake na jinsi ya kutamka maneno hayo.Kuna aina tatu(3) za kamusi:
(i)Kamusi wahidiya
(ii)Kamusi thania
(iii)Kamusi mahuruti
Kwa lugha ya kiingereza kamusi inajulikana kama [[dictionary]
VITA VYA MAJIMAJI
Vita vya majimaji vilipiganwa mnamo mwaka 1905-1907.Kiongozi wa vita hivi kwa
watu wa Tanzania alikuwa ni Kinjeketile Ngwale.Vita hii ilikuwa ni upingaji mkali
dhidi ya utawala wa koloni la Ujerumani.Vita hivyo vilishirikisha baadhi ya makabila
ya wanyamwezi.