,

Ujamaa Quotes

Quotes tagged as "ujamaa" Showing 1-2 of 2
Enock Maregesi
“Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa baba kwa familia yake. Kwa Tanzania alikuwa mlezi; wa ndoto ya haki, amani, uzalendo, ujamaa, na uhuru.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa bendera ya taifa letu! Alikuwa alama ya amani, haki, uhuru, ujamaa, uzalendo, na Tanzania.”
Enock Maregesi