Nenda kwa yaliyomo

ndege

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

NOMINO

[hariri]
ndege mnyama
ndege chombo

Nomino

[hariri]

ndege (bird)

  1. aina ya mnyama ambaye anaweza kupaa; ana mikia na mabawa
  2. chombo cha kusafiri hewani kinachoongozwa na Rubani kinachobeba abiria na mizigo kwa umbali mrefu
  3. Usafiri hewani na ndege za makampuni mbali mbali

Tafsiri

[hariri]